Ezekiel 23:14-15

14 a“Lakini yeye akazidisha ukahaba wake. Akaona wanaume waliochorwa ukutani, picha za Wakaldayo
Wakaldayo yaani Wababeli .
waliovalia nguo nyekundu,
15 cwakiwa na mikanda viunoni mwao na vilemba vichwani mwao, wote walifanana na maafisa wa Babeli wapandao magari ya vita, wenyeji wa Ukaldayo.
Ukaldayo yaani Babeli .
Copyright information for SwhKC